Friday, 26 September 2014

NJIA YA KUMJUA MTU ALIYE HACK FACEBOOK ACCOUNT YAKO

Kwa Njia rahisi nayofahamu ni kwamba SYNCHRONIZE all accounts ulizonazo kwa facebook ili ziingie kwa simu yako, hapo utafanya kuwa rahisi kujua emails, namba za simu, na data zingine muhimu juu ya account mbali mbali pamoja na yako.




Njia kwa Kutumia Computer huwa kuna OUTSYNC lakini hyo bado mwisho wa siku itakuhitaji simu yako iwe connected into accounts...

No comments:

Post a Comment