Friday, 26 September 2014

JINSI YAKUTUMIA FREE INTERNET

Nategemea mko poa, Leo nimeona Nitimize ile ahadi ya somo letu juu ya kufanya access ya free internet service....kwa watu wanaotumia mtandao wa "KAZI NI KWAKO" ndo habari hii itawafaa zaidi, Hili somo litahusisha utumizi wa softwares kama PD-PROXY, hii ni moja ya system nzuri sana ambazo zinawasaidia waliona tatizo la kupata access ya internet.







Tuanze kwa kujua hizi PROXY ndio nini???

Kwa maana rahisi PROXY ni software ambayo inahusika kama intermediate HUB ambayo kazi yake ni ku PROCESS informations zinazotoka kwa server, hii huweza kuwa FILE, ama WEB info....kwa waliowahi kutumia FILEZILLA wananielewa nasema nini hapa

Kwa mtu anayetumia PD-PROXY ama PROXY ni Rahisi kuficha IDENTITY yake kwa maana yeye hutumia server information details kwa hiyo user hupewa PROXIES internet protocals ....kwa maana rahisi mtu yeyote hawezi akajua uko wapi hasa (locality)...Hii pia hupendwa kutumiwa na HACKERS wanaopenda kuvamia mitandao na kuchukua data mbali mbali.

Na pia Proxy huwezesha kutumia internet Free kwa kuwa Server ndio inayoact kama NODE kwa kutoa response kwa request ambazo zinakuwa zinatumwa kutoka kwa computer, ndio maana tunasema internet free...hapa tunawatumia hawa access provider ku connect na server yenyewe huendelea kuifanya connection moja kwa moja wa server.



TUNAANZA KAMA IFUATAVYO:

Unapaswa kuwa na software inaitwa PD-PROXY (iko mwisho wa maelekezo haya) ukishakuwa na hii software unachotakiwa kufanya EXTRACT moja kwa moja na iweke sehemu ya computer yako (drive D ama E ama F kadri utakavyoona wewe....Na hakikisha uweke sehemu ambayo hautaMOVE folder ....kama inavyoonekana hapa



Baada ya hapo bonyeza file imeandikwa PD-PROXY.exe na baada ya hapo itaLAUNCH...Sasa hapo ukishafanikisha kinachofuata ni kwenye PD_PROXY SIGN UP

Nenda ukaji REGISTER kwa mtandao wa PD-PROXY utapata Username na Password, na ukishazipata hizo ndo unatumia kuingiza ile sehemu ya USERNAME na PASSWORD kwenye software ya PD-PROXY kama inavyoonekana hapa



KAMA UMESHAREGISTER SUCCESSFULLY

Unaingiza Username yako na Password na Baada ya hapo unachagua "DEMO SERVER" na hii hukupa wewe free 100mb na baada ya hapo ndo tunaingia upande wa connections

NAMNA YA KUFANYA CONNECTIONS

Unapotaka kufanya connections hakikisha uwe ushaconnect modem yako iliyo na LINE ya KAZI NI KWAKO na baada ya hapo CONNECT....ikishakuwa connected ndo sasa u CONNECT na PD-PROXY software na hapo sasa utasubiri mpaka iwe connected na yenyewe.......kama inavyoonekana hapa



Hapo nimeconnect tu bila ku load chochote kwa MTANDAO....

Kwa wale ambao wanataka PREMIUM.....ambao watakuwa na uwezo wa kuCONNECT kwa server yoyote iliyo kwenye software hii.....Kama uko vizuri unaweza kununua ONLINE Huduma hii kwa PD-PROXY website wanamaelekezo pale....Kama Ungependa upate huduma ya internet free Mwezi Mzima ipate kwa Sh. 12,000/= Tu.

Download PD-PROXY here

PD-PROXY

No comments:

Post a Comment