Nowadays we can buy Flash drive at low price. We can buy 32GB flash
drive for only 10 $. Mostly these are fake drives. Now flash drives also
manufactured as fake and its it's look like original one. These type
flash drives are mostly imported from China. They are using some small
programs to show 4GB pen drive as 32GB
So let's check your Pen-drive is original or fake
H2Testw software is one of the best software to check
Pen-drive is original or not. Also you can check your Memory Card with
this software.
Download froma here
Or for alternative download from this link here www.mediafire.com/download/ienvbfe2gvblgec/h2testw.exe
Empty the files on pen drive before checking
Click on Target DeviceNow select your Removable device
Then Click Write+Verify button.
If your pen drive is original, a message will appear as "Test finished without errors"
Welcome in Complex System team
Thursday, 25 September 2014
HOW TO CHANGE INTERNAL HARD DISK TO BECOME EXTERNAL
Freeze
your hard drive to recover data: Recovering data from a clicking hard
drive can be a touch and go task. In most cases, a clicking hard drive
signifies that the drive is stuck in seek mode and is a sign that your
drive is failing. In most cases, if the clicking hard drive contains the
operating system you boot from, you will lose the ability to boot from
this device (it will just sit there clicking away) and the drive will
appear to be dead. In which case, many people assume the drive is shot
and data cannot be retrieved.
However, what most people don't know is that properly freezing a clicking (failing) drive can enable you to quickly backup the important data. Here is how the process works:
How to backup data from a clicking hard drive:
1. First, remove the clicking hard drive from your computer and place it in a ziplock bag (to prevent condensation)
2. Place the zip-locked hard drive in the freezer for an hour
3. Have a backup storage device handy such as an external USB hard drive or large flashdrive
4. Remove the hard drive from the freezer and immediately reconnect it to your computer. Important: The drive does not need to be mounted in the carriage, however, make sure the hard drive is resting on a flat surface. The picture below does not portray this.
5. Attempt to boot your computer again. In most cases, the drive will boot right up. In other cases it may take a few attempts.
6. Once booted, connect your backup device and attempt to "copy" the information you wish to retrieve over to the USB backup storage device
Note: You will only have a 15-20 minute window within which to completely backup your data. This is the typical thaw time, which may vary depending on environmental heat factors.
U
However, what most people don't know is that properly freezing a clicking (failing) drive can enable you to quickly backup the important data. Here is how the process works:
How to backup data from a clicking hard drive:
1. First, remove the clicking hard drive from your computer and place it in a ziplock bag (to prevent condensation)
2. Place the zip-locked hard drive in the freezer for an hour
3. Have a backup storage device handy such as an external USB hard drive or large flashdrive
4. Remove the hard drive from the freezer and immediately reconnect it to your computer. Important: The drive does not need to be mounted in the carriage, however, make sure the hard drive is resting on a flat surface. The picture below does not portray this.
5. Attempt to boot your computer again. In most cases, the drive will boot right up. In other cases it may take a few attempts.
6. Once booted, connect your backup device and attempt to "copy" the information you wish to retrieve over to the USB backup storage device
Note: You will only have a 15-20 minute window within which to completely backup your data. This is the typical thaw time, which may vary depending on environmental heat factors.
COMPUTER HARDWARE
I took a fan out of a server from work, This fan plugs in to the wall
and has a CFM of 610, Its made entirely out of metal and is very heavy, I
took a chocolate box and sealed it with Duck tape then cut a hole in it
the size of my laptop's breathing holes, here is some pictures What do
you guys think?
TEMPERATURE, Benchmarking my CPU under a heavy load it will never go past 60*C

TEMPERATURE, Benchmarking my CPU under a heavy load it will never go past 60*C
Go ahead ask me any thing, Im a genius you know
COMPUTER HARDWARE
Any fool can write code that a computer can understand. Good programmers write code that humans can understand.
Last Edit: 2 weeks 3 days ago by Man Pierre.
Report to moderator
FAIDA NA HASARA ZA KU UPDATE BIOS: 2 weeks 3 days ago #2988
|
Kama usemavyo BIOS ndio BASIC Input Output System, Ndio system
pekee inayoweza ifanya computer iwake ikiwa inajua kitu gani kipo, kitu
gani kinatatizo, na huwa inatoa information kwa kile ambacho inakiona
hakiko sawa.
BIOS ni ile system ambayo inakagua computer kabla ya kuwaka na kuanza kufanya kazi, BIOS ndio inaangalia RAM ipo, HDD ipo, Kuna Flash ama CD kwa ROM/PORTS. Ndio ile system ambayo tunaweza iita READ ONLY MEMORY PEKEE ambayo inaweza kutunza taarifa chache sana. KWANI KU-UPDATE BIOS NDO KUFANYAJE? NDO KUNA KUAJE KUAJE, SABABU? ULAZIMA?? Ni Maswali ambayo huweza kujiuliza wakati ukisikia watu wanataka update BIOS. BIOS ni kile ki(FIRMWARE) kilichotengenezwa kwa ajili ya kutambua kila kitu ndani na nje kwa maana ya OUTPUT DEVICES kwa computer. Kina uwezo wa kujua drivers zote ziko sawa, kina uwezo wa kutambua Network Interface Card ipo ila haijawa plugged in fresh, inaweza jua kuwa kuna FAN lakini computer bado inachemka (Overheating). Ina uwezo wa kutambua kuwa kuna kuna POWER FAILURE kwa namna yoyote ile iwe Charger haiingizi Moto unaotakiwa, ama battery life iko LIMITED. Unaweza sema si sawa kama umetazama wakati Computer ina operate, Hapa nazungumzia BIOS wakati unapowasha tu mashine ama maandalizi ya kuwasha computer yako na ikaanza kuwaka. KU-UPDATE BIOS ku-UPDATE BIOS maana yake ni kufanya mabadiliko ya baadhi ya functionalities za BIOS na CHIP zake. Yawezekana ku-update BIOS ukafanya kwa njia tofauti tofauti kutegemeana na BIOS yako. Unaweza update BIOS kwa kubadili BIOS CHIP, Hii sasa Hutegemeana na kama BIOS Chip zako ziko MOUNTED kwa Motherboard moja kwa moja na manufacturer. Ukibadili BIOS chip basi hakikisha unachukua ile yenye uwezo wa kuendana na uwezo wa motherboard yako. Unaweza ku-update BIOS kwa Kutumia BIOS UPDATE TOOLS hizi tools mara nyingi huwa zinatolewa na Manufacturers. So hakikisha unajua manufacturer wako ni nani? na website yake kwa ajili ya kupata updates kwa ajili ya aina ya Computer yako. NAMJUAJE MANUFACTURER WANGU na AINA YA BIOS YANGU Unaweza mjua manufacturer mara nyingi huweza andikwa kwa BIOS yenyewe, ama hata kwa User Manual ya Motherboard ya computer yako, hii inategemeana kwa wale wanaonunua computers kutoka kwa manufacturers huweza pata. ila kwa wewe tazama hapa Fungua msinfo32 kwenye search box ndani ya computer yako alafu utaona BIOS yako kama hivi Baada ya kugundua hayo basi zoezi la kutafuta update kwa BIOS yako linaweza endelea. TARATIBU ZA KU-UPDATE Wakati ukitaka ku-update BIOS tafadhali HAKIKISHA UMEJIKAMILISHA KWA HIVI VITU: 1. Hakikisha unapata UPDATE SOFTWARE ya BIOS Moja kwa Moja toka kwa Manufacturer wako 2. Hakikisha ukitaka ku-update una UHAKIKA WA CHARGE kwa computer yako (POWER) 3. Hakikisha Process ya ku-update haiwi interrupted by ANY PROGRAM 4. Hakikisha unajua unachokifanya, Hii Process huweza ifanya computer iFLASH wakati wote wa ku update na zingine huweza kuzima kabisa moja kwa moja kama tu inachukua kitu chenye uwezo zaidi na motherboard. 5. Hakikisha umefanya BACKUP ya BIOS FIRMWARE iliyopo ili incase mambo ya yamekwenda visivyo urudie backp iliyopo LENGO LA KU-UPDATE BIOS LA MSINGI KABISA LINAPASWA KUWA LIPI??? Lengo kubwa la BIOS Update kwa computer yako, Nashauri liwe Ndani ya haya: 1. Umebadili baadhi ya components za computer yako na computer inashindwa kufanya kazi vizuri, mfano Processor, CMOS Battery, Mounted Ports and Chips 2. Umeongeza Computer Drivers na Baadhi ya hardware parts mfano Sound Card, Video Card, Controller, Bus Controller, Network Chips and ROM Chips 3. Endapo Computer yako ina tatizo la BIOS labda mfano ime CORRUPT, ama iko OUTDATED na Manufacturers wakati unanunua walishauri u-update BIOS yako. FAIDA ZA Ku-UPDATE BIOS NI ZIPI ??? Kwanza hufanya computer kuwa na uwezo wa kuwaka kirahisi na kuifanya computer iweze kitambua components zake kirahisi zaidi, (japo wepesi wa computer hutegemeana na RAM, Processor na other factors-virus, overheating etc. Pili computer kuweza kutambua any INPUT/OUTPUT Devices kwa haraka zaidi, yaani huwezesha computer Operating System kuweza kutambua kwa haraka devices zinazokuwa inserted. Hii Pia husaidia katika drivers instalations kwa baadhi ya devices mfano Printer, Projectors, Other Devices E.g Camera HASARA ZA KU-UPDATE Napenda fananisha BIOS na Kati Kati ua Usingizi MZITO na KUAMKA (pale kati kati sasa panapounganisha). Ku update BIOS kunaweza ifanya computer yako ishindwe wakati mwngine kutambua hata vitu vidogo kabisa kama USB PENDRIVE(Flash) Ikitokea tatizo lolote wakti wa ku-update BIOS yaweza kufanya BIOS yako kuCORRUPT na hvyo kukulazimu kushindwa kuitumia computer yako vizuri. Pia Inaweza ikasababisha tatizo la KUHARIBIKA kwa baadhi ya CHIPS ambazo ziko related na BIOS, hivyo unatakiwa uchukue tahadhari hiyo. USHAURI USI-UPDATE BIOS ya computer kama majaribio ya kisayansi wakati ndo computer hiyo hiyo inayokuwezesha kuingia complex system na kupeana mawili matatu na wadau. kama hujui kitu juu ya ku-update BIOS peleka computer kwa mtaalamu wa mambo ya BIOS sio kwa mtu anayeweza kufanya installations za windows 7 Ni hayo ambayo ningependa SHARE nanyi wadau, kama una cha kuongezea itakuwa POUWA...Kama imekusaidia THANKYU |
INFORMATION TECHNOLOGY
Catechist Michael Kway
September 19 at 9:51pm
Mambo vp Wadau, Nilipenda kushare nanyi kitu kuhusu HACKING. :unsure: :unsure: :unsure:
Hacking ni Kosa kisheria, ni WIZI/UJAMBAZI ama kiustadi tunasema ni UHALIFU wa MTANDAONI, Njia hizi zinahitaji mtu mwenye uwezo wa kujua CODE na DE-cryption Skills. Huhitaji mda mwingi na kufuatilia attempts zote.
PHISHING HACKING TECHNIQUE
Kwa hii njia hacker anachukua the same SOURCE CODE of the site na kutengeneza another webpage kama ile alochukua source code na baada ya hapo anaweza ku attempt hacking kwa kum-PROMPT user a-LOGIN kwa site na hapo ndo user anapoingiza Username/Email and Password
Kwa hiyo njia watu wengi sana wamekuwa hacked akaunt zao za facebook, emails na hata ma BLOGGER wengi wanakuwa HACKED kwa njia hizi.
Phishing website unakuwa kama umeitoa COPY na hapo ndo mtu hujua kuwa it is the same website kumbe hiyo ni FAKE webpage. TUWE MAKINI NA HILI
CROSS SITE SCRIPTING (XSS)
Maana rahisi ya XSS ni kwamba HACKER anaweza kuchunguza kama SITE anayotaka kuHACK inaWEAKNESS (vulnerability) katika upangaji wa CODES, SCRIPTS na FILES. Akishagundua kuna web application scripts problem basi anawezafanya HACKING ATTEMPT kwa kuingiza CODE zingine kupitia CLIENT software zake kwa site hiyo.
Kwa Njia hii HACKER anaweza kwa mfano anaweza kugundua kuna XSS Vulnerabilty kwa YAHOO, basi yeye anachoweza ni ku-inject malicious script kwa YAHOO na hivyo wakati ukiwa UnaRUN website ya YAHOO zile Malware Scripts anazoweza inject ndo zinazoRUN badala ya Site yenyewe.
Matokeo yake anaku PROMPT uingize password ambazo ni halali kwa wewe ku LOGIN kwa YAHOO lakini sasa anaSTORE SECRETLY passwords na Login Credentials kwa kutumia COOKIE na hapo baadae anaweza kuLOGIN kama wewe na kupata ACCESS.
Hii mara nyingi hupenda kutumia kwa MALIPO ya ONLINE mambo ya PAYPAL na zinginezo, Mitandao ya Kijamii, na pia kwa Email Accounts zozote zile hata za CUSTOM SERVER.
ANGALIZO
Kama unadeal sana na malipo ya vitu ONLINE kuwa makini ya njia hii wanaibiwa sana watu, makampuni na mashirika kwa kutofahamu MALWARE hawa wanavyofanya. Hakikisha browser yako haina addons usizo zifahamu, hakuna virus-malware kwa computer yako. Na sasa ni muda wa kutumia INTERNET SECURITY VERSION OF ANTISPYWARE/ANTIWARE/ANTIVIRUS.
Kama Topic Hii imekusaidia kwa namna yoyote ile THANK
Tuesday, 23 September 2014
SOMA HABARI ZA MCHUNGAJI MTOTO MJINI MOMBASA
From Pastor Bright: READ AND DECLARE TO ARISE TO THE HIGHER LEVEL.
Theme: I WILL ARISE AGAIN!
Do U feel God is no longer at peace with U because of the situation U found yourself? Do U feel your situation is so overwhelming so there is no deliverance? Have U fallen somewhere and U are not able to rise again? Do U know even now, Jesus Christ is ready to lift U up from your situation? Do U know how many times a baby who starts to walk falls but rise again? Will that baby not walk again because he has fallen many times? What will your own child say if he holds your hand and both of you are walking through rough or slippery ground? Won’t he also say, “Daddy/ Mummy hold me now because this ground is slippery”? Do not give up because of the number of times U have fallen. IT IS YOUR TIME TO ARISE AGAIN. Do not remain on where U fall; move from the crawling stage, to the walking stage, to the running stage, and to the flying stage. Do not ask how? The LORD will give U the strength to walk, to run and the wing to fly beyond the obstacle. Isaiah 40:31. It is not by your might nor by your power, but by the spirit of the LORD. Zach 4:6. The LORD expects U from today to arise and shine because your glory who is Jesus Christ has come to intervene in your situation. Is. 60:1. Now, hear what Martha said to Jesus Christ, when the brother Lazarus died and was buried for four days. “Lord, if You had been here, my brother would not have died.” Hear the faith of Martha again, “BUT EVEN NOW I KNOW THAT WHATEVER YOU ASK OF GOD, GOD WILL GIVE YOU.” Jesus said to her “YOUR BROTHER WILL ARISE AGAIN” With Jesus Christ, U will also arise again from today.
DECLARATION: LORD I (your name) from today, anything that has fallen in my life (mention them) I command them to arise again in the mighty name of Jesus Christ!
PRAYER: As U declare, may U receive the strength and the power to arise again and go higher in your life. MAY THE LORD MAKE YOU THE HEAD, NOT THE TAIL in Jesus Christ name!!! Deut.28:13.
Theme: I WILL ARISE AGAIN!
Do U feel God is no longer at peace with U because of the situation U found yourself? Do U feel your situation is so overwhelming so there is no deliverance? Have U fallen somewhere and U are not able to rise again? Do U know even now, Jesus Christ is ready to lift U up from your situation? Do U know how many times a baby who starts to walk falls but rise again? Will that baby not walk again because he has fallen many times? What will your own child say if he holds your hand and both of you are walking through rough or slippery ground? Won’t he also say, “Daddy/ Mummy hold me now because this ground is slippery”? Do not give up because of the number of times U have fallen. IT IS YOUR TIME TO ARISE AGAIN. Do not remain on where U fall; move from the crawling stage, to the walking stage, to the running stage, and to the flying stage. Do not ask how? The LORD will give U the strength to walk, to run and the wing to fly beyond the obstacle. Isaiah 40:31. It is not by your might nor by your power, but by the spirit of the LORD. Zach 4:6. The LORD expects U from today to arise and shine because your glory who is Jesus Christ has come to intervene in your situation. Is. 60:1. Now, hear what Martha said to Jesus Christ, when the brother Lazarus died and was buried for four days. “Lord, if You had been here, my brother would not have died.” Hear the faith of Martha again, “BUT EVEN NOW I KNOW THAT WHATEVER YOU ASK OF GOD, GOD WILL GIVE YOU.” Jesus said to her “YOUR BROTHER WILL ARISE AGAIN” With Jesus Christ, U will also arise again from today.
DECLARATION: LORD I (your name) from today, anything that has fallen in my life (mention them) I command them to arise again in the mighty name of Jesus Christ!
PRAYER: As U declare, may U receive the strength and the power to arise again and go higher in your life. MAY THE LORD MAKE YOU THE HEAD, NOT THE TAIL in Jesus Christ name!!! Deut.28:13.
Thursday, 10 July 2014
MICHAEL JOSEPH KWAYU=0763-690-270
Bwana Yesu apewe sifa.
Leo nitaongelea huduma ya uimbaji kanisani.
Nimekuwa katika huduma mbalimbali kwa muda mrefu katika kanisa.
Lakini nimefika mahali nikachaguliwa katika huduma ya kusimamia uimbaji au kuongoza kwaya katika kanisa,hii ndio huduma ambayo inavikwazo vingi sana. Nimegundua kwanini shetani alishindwa mahali hapa kwani kuongoza kundi lisilohitaji kuomba wala kujua neno bali ni kuimba na kutoka au kuimba ndio mwisho ni ngumu sana,wanakwaya wengi au waimbaji wanachofahamu katika kanisa ni kuimba tu wakiimba wako rohoni sana wakimaliza kila jambo wameliacha madhabahuni huku kwingine ni mwili unatenda kazi.
Kwanza huwezi amini kwenye kanisa moja chini ya mchungaji moja kanisa moja bali kwaya kuu na kwaya ndogo hazina mahusiano kabisa zinashindana hazipendani majungu na fitina kama mataifa hiyo ni shida katika kanisa upendo wa kristo katika kwaya haupo kabisa.
Naona kama hivyo ndio huduma basi watakuwa wa kwanza kuhukumiwa maana Mungu anasema mlitumika bali siwatambui itakuwa ni kilio siku ile tena kikuu sana kwa waimbaji,fedha imekuwa ndio miungu yao pamoja na walimu wa kwaya maana kama wengine wanapeleka fedha katika makanisa na huduma mbalimbali waimbaji wanataka fedha kutoka kwa kanisa na washirika ili wafanye mambo yao hii sio injili ya Yesu bali ni ya adui shetani.
Ifike mahali kanisa lipone na liwe kitu kimoja katika huduma zote zinazofanyika kanisani kama nigepewa jukumu la kuchagua basi nisingekubali huduma za uimbaji wa namna hiyo katika makanisa ni bora kuwa na kundi la sifa kuliko kuwa na kwaya zenye mizozo na fitina kanisani,maana hapo hakuna Mungu tena bali shetani anashika nafasi katika kundi hili.
Hili ndio kundi linalorudisha nyuma huduma nyingi sana na ndio kundi linalopewa kipaumbele katika kila jambo kanisani kabla ya huduma yoyote huitwa na kuimba na kusifu ndipo huduma zingine hufuata bali limeingiliwa na adui mbaya kabisa shetani tena ni Yule joka kuu maana anataka kuangamiza kanisa la sasa,Ndugu zangu katika kristo Yesu nilikuwa namsikiliza mchungaji Abiudi akisema kuhusu huduma hii niliona ni kawaida tu lakini baada ya kuingia nimeijua vizuri na nimewagundua hawa waimbaji ndio chanzo kikuu cha kanisa la Mungu kuharibika maana hawafuati kabisa kanuni za Yesu kristo katika huduma hii.
Hivyo kanisa la leo linamzigo mzito sana wa kuomba kwa ajili ya huduma hii ya uimbaji maana ndio chanzo kikuu cha ushirika wa kristo Yesu juu ya kanisa lake na shetani anajua mlango huu maana yeye aliutumikia kabla ya kufukuzwa katika huduma hii hivyo ni vizuri tukaiweka huduma hii ya uimbaji mbele za Bwana kila mara ili kanisa lipate kusonga mbele katika huduma nyingine,nanyi waimbaji ni wakati wenu sasa kurudi katika mstari mnyoofu maana mmekuwa kwazo kwa kanisa kwa ajili ya tabia na mienendo yenu,hata mnafanya kanisa la Mungu kudharauliwa kwa ajili yenu nyinyi ambao mumeandamana na baba yenu iblisi katika kutenda uasi ndani ya kanisa.
Najua kuna watakao kwazwa kwa maneno haya lakini ni bora kukwazwa lakini ukapona kuliko kupotea katika shimo lile la moto wa jehenam maana yeye huja kuu na kuchinja bali kristo alikuja kutafuta aliyepotea ili amrudie Mungu wake apate kuthi ufalme wa mbinguni.
Mungu wa baba yangu Ibrahimu na Yakobo awabariki na muwe na amani ya Kristo mioyoni mwenu.
Ameni.
Leo nitaongelea huduma ya uimbaji kanisani.
Nimekuwa katika huduma mbalimbali kwa muda mrefu katika kanisa.
Lakini nimefika mahali nikachaguliwa katika huduma ya kusimamia uimbaji au kuongoza kwaya katika kanisa,hii ndio huduma ambayo inavikwazo vingi sana. Nimegundua kwanini shetani alishindwa mahali hapa kwani kuongoza kundi lisilohitaji kuomba wala kujua neno bali ni kuimba na kutoka au kuimba ndio mwisho ni ngumu sana,wanakwaya wengi au waimbaji wanachofahamu katika kanisa ni kuimba tu wakiimba wako rohoni sana wakimaliza kila jambo wameliacha madhabahuni huku kwingine ni mwili unatenda kazi.
Kwanza huwezi amini kwenye kanisa moja chini ya mchungaji moja kanisa moja bali kwaya kuu na kwaya ndogo hazina mahusiano kabisa zinashindana hazipendani majungu na fitina kama mataifa hiyo ni shida katika kanisa upendo wa kristo katika kwaya haupo kabisa.
Naona kama hivyo ndio huduma basi watakuwa wa kwanza kuhukumiwa maana Mungu anasema mlitumika bali siwatambui itakuwa ni kilio siku ile tena kikuu sana kwa waimbaji,fedha imekuwa ndio miungu yao pamoja na walimu wa kwaya maana kama wengine wanapeleka fedha katika makanisa na huduma mbalimbali waimbaji wanataka fedha kutoka kwa kanisa na washirika ili wafanye mambo yao hii sio injili ya Yesu bali ni ya adui shetani.
Ifike mahali kanisa lipone na liwe kitu kimoja katika huduma zote zinazofanyika kanisani kama nigepewa jukumu la kuchagua basi nisingekubali huduma za uimbaji wa namna hiyo katika makanisa ni bora kuwa na kundi la sifa kuliko kuwa na kwaya zenye mizozo na fitina kanisani,maana hapo hakuna Mungu tena bali shetani anashika nafasi katika kundi hili.
Hili ndio kundi linalorudisha nyuma huduma nyingi sana na ndio kundi linalopewa kipaumbele katika kila jambo kanisani kabla ya huduma yoyote huitwa na kuimba na kusifu ndipo huduma zingine hufuata bali limeingiliwa na adui mbaya kabisa shetani tena ni Yule joka kuu maana anataka kuangamiza kanisa la sasa,Ndugu zangu katika kristo Yesu nilikuwa namsikiliza mchungaji Abiudi akisema kuhusu huduma hii niliona ni kawaida tu lakini baada ya kuingia nimeijua vizuri na nimewagundua hawa waimbaji ndio chanzo kikuu cha kanisa la Mungu kuharibika maana hawafuati kabisa kanuni za Yesu kristo katika huduma hii.
Hivyo kanisa la leo linamzigo mzito sana wa kuomba kwa ajili ya huduma hii ya uimbaji maana ndio chanzo kikuu cha ushirika wa kristo Yesu juu ya kanisa lake na shetani anajua mlango huu maana yeye aliutumikia kabla ya kufukuzwa katika huduma hii hivyo ni vizuri tukaiweka huduma hii ya uimbaji mbele za Bwana kila mara ili kanisa lipate kusonga mbele katika huduma nyingine,nanyi waimbaji ni wakati wenu sasa kurudi katika mstari mnyoofu maana mmekuwa kwazo kwa kanisa kwa ajili ya tabia na mienendo yenu,hata mnafanya kanisa la Mungu kudharauliwa kwa ajili yenu nyinyi ambao mumeandamana na baba yenu iblisi katika kutenda uasi ndani ya kanisa.
Najua kuna watakao kwazwa kwa maneno haya lakini ni bora kukwazwa lakini ukapona kuliko kupotea katika shimo lile la moto wa jehenam maana yeye huja kuu na kuchinja bali kristo alikuja kutafuta aliyepotea ili amrudie Mungu wake apate kuthi ufalme wa mbinguni.
Mungu wa baba yangu Ibrahimu na Yakobo awabariki na muwe na amani ya Kristo mioyoni mwenu.
Ameni.
Subscribe to:
Posts (Atom)

