Monday, 26 October 2015


Newala.Vurugu zilitawala jimbo la Newala mjini hapo jana baada ya mgombea ubunge CUF,Juma Manguya kudai njama zimefanywa ikiwa ni pamoja na kuwarubuni mawakala wa chama chake kuchakachua matokeo kwa lengo la kumpa ushindi mgombea wa CCM. Hata hivyo wananchi walikusanyika ofisi za manispaa kushinikiza matokeo hayo yatangazwe vilionekana vifaru na magari ya jeshi yakipita eneo hilo mara kwa mara huku wananchi wakiendelea na hitaji lao. Shaibu Sele anasema "Sisi tumepiga kura na katika vituo vingi tulikuwa tunaongoza kwa kura za kuaminika lakini matokeo yanacheleweshwa kwanini kama sio njama za hujuma,"alisema Sele Naye Salma Dadi anasema "Kilichofanyika ndani ya jimbo la Newala lina kata 16 na Ccm wamechukua kata tano pekee katika madiwani hao na mbunge wetu tulimpigia kura lakini cha kushangaza inaonekana sasa hivi wanasema mshindi ni mbunge wa CCM hatutaki tunahitaji matokeo yetu ya halali tunamtama mbunge wetu Manguya tumechoka udikteta wa Mkuchika,"anasema Dadi Naye mgombea wa CUF Maguya alieleza njama hizo na kutokukubaliana na matokeo. "Kinachoendelea hapa ni suala la kutokufuata uchaguzi huru,asubuhi matokeo yalikuwa yanaonyesha tulikuwa tunaongoza kwa zaidi ya kata 15 kwa nafasi ya ubunge na udiwani lakini baada ya matokeo kufikishwa ofisi ya kata kura zimeongezwa na zinaonekana kuwa tofauti na zilizopigwa tarehe 25 kwasababu baada ya kuletwa ofisi ya kata zinaonyesha mpinzani wangu amenizidi kwa kura 92,"alisema Manguya Akitangaza matokeo mkurugenzi wa Newala mjini, Gimba Mtavyo alisema mgombea wa Cuf amepata kura 18,261,CCM kura 18,817 na kumtangaza George Mkuchika (CCM) kuwa mshindi na kuwa nafasi za udiwani CCM imeshinda kata 5 na CUF kata 11. Mwisho...................


Newala.Vurugu zilitawala jimbo la Newala mjini hapo jana baada ya mgombea ubunge CUF,Juma Manguya kudai njama zimefanywa ikiwa ni pamoja na kuwarubuni mawakala wa chama chake kuchakachua matokeo kwa lengo la kumpa ushindi mgombea wa CCM. Hata hivyo wananchi walikusanyika ofisi za manispaa kushinikiza matokeo hayo yatangazwe vilionekana vifaru na magari ya jeshi yakipita eneo hilo mara kwa mara huku wananchi wakiendelea na hitaji lao. Shaibu Sele anasema "Sisi tumepiga kura na katika vituo vingi tulikuwa tunaongoza kwa kura za kuaminika lakini matokeo yanacheleweshwa kwanini kama sio njama za hujuma,"alisema Sele Naye Salma Dadi anasema "Kilichofanyika ndani ya jimbo la Newala lina kata 16 na Ccm wamechukua kata tano pekee katika madiwani hao na mbunge wetu tulimpigia kura lakini cha kushangaza inaonekana sasa hivi wanasema mshindi ni mbunge wa CCM hatutaki tunahitaji matokeo yetu ya halali tunamtama mbunge wetu Manguya tumechoka udikteta wa Mkuchika,"anasema Dadi Naye mgombea wa CUF Maguya alieleza njama hizo na kutokukubaliana na matokeo. "Kinachoendelea hapa ni suala la kutokufuata uchaguzi huru,asubuhi matokeo yalikuwa yanaonyesha tulikuwa tunaongoza kwa zaidi ya kata 15 kwa nafasi ya ubunge na udiwani lakini baada ya matokeo kufikishwa ofisi ya kata kura zimeongezwa na zinaonekana kuwa tofauti na zilizopigwa tarehe 25 kwasababu baada ya kuletwa ofisi ya kata zinaonyesha mpinzani wangu amenizidi kwa kura 92,"alisema Manguya Akitangaza matokeo mkurugenzi wa Newala mjini, Gimba Mtavyo alisema mgombea wa Cuf amepata kura 18,261,CCM kura 18,817 na kumtangaza George Mkuchika (CCM) kuwa mshindi na kuwa nafasi za udiwani CCM imeshinda kata 5 na CUF kata 11. Mwisho...................


Newala.Vurugu zilitawala jimbo la Newala mjini hapo jana baada ya mgombea ubunge CUF,Juma Manguya kudai njama zimefanywa ikiwa ni pamoja na kuwarubuni mawakala wa chama chake kuchakachua matokeo kwa lengo la kumpa ushindi mgombea wa CCM. Hata hivyo wananchi walikusanyika ofisi za manispaa kushinikiza matokeo hayo yatangazwe vilionekana vifaru na magari ya jeshi yakipita eneo hilo mara kwa mara huku wananchi wakiendelea na hitaji lao. Shaibu Sele anasema "Sisi tumepiga kura na katika vituo vingi tulikuwa tunaongoza kwa kura za kuaminika lakini matokeo yanacheleweshwa kwanini kama sio njama za hujuma,"alisema Sele Naye Salma Dadi anasema "Kilichofanyika ndani ya jimbo la Newala lina kata 16 na Ccm wamechukua kata tano pekee katika madiwani hao na mbunge wetu tulimpigia kura lakini cha kushangaza inaonekana sasa hivi wanasema mshindi ni mbunge wa CCM hatutaki tunahitaji matokeo yetu ya halali tunamtama mbunge wetu Manguya tumechoka udikteta wa Mkuchika,"anasema Dadi Naye mgombea wa CUF Maguya alieleza njama hizo na kutokukubaliana na matokeo. "Kinachoendelea hapa ni suala la kutokufuata uchaguzi huru,asubuhi matokeo yalikuwa yanaonyesha tulikuwa tunaongoza kwa zaidi ya kata 15 kwa nafasi ya ubunge na udiwani lakini baada ya matokeo kufikishwa ofisi ya kata kura zimeongezwa na zinaonekana kuwa tofauti na zilizopigwa tarehe 25 kwasababu baada ya kuletwa ofisi ya kata zinaonyesha mpinzani wangu amenizidi kwa kura 92,"alisema Manguya Akitangaza matokeo mkurugenzi wa Newala mjini, Gimba Mtavyo alisema mgombea wa Cuf amepata kura 18,261,CCM kura 18,817 na kumtangaza George Mkuchika (CCM) kuwa mshindi na kuwa nafasi za udiwani CCM imeshinda kata 5 na CUF kata 11. Mwisho...................


Tuesday, 4 November 2014

JIFUNZE HAPA PIA DOWNLOAD SOFTWARE HAPA ZA KU-FLASH MODEMS ZA HUAWEI

Habari ndugu zangu wana MICHANEWZ.BLOGSPOT.COM hapa nimepitia pitia mahara sasa nimeona nije ni share na nyinyi jinsi ya kusambalatisha hili tatizo la hii modem ingawa ni modem ya zamani kidogo lakini nafikili kuna baadhi bado wanasumbuka kuisababishia mambo

modem yenyewe ni kama inavyoonekana hapa



Sasa step zake ningependa ndo zije kwa hapa waheshimiwa

How to Unlock Huawei e173 Modem

1.Download hizi file then maelezo ya kuzitumia yanafuata

a)Download Huawei E173 Firmware
b) Universal Master Code.exe.

2. Jinsi ya ku unlock sasa ukishakua tayari ku download files hapo juu basi Fungua modem yako na copy mahara pazuri namba 15 ambazo zinasomeka katika modem yako kama IMEI ukiwa tayari chomeka modemu yako ikiwa na laini ile ile ambayo modem yako ina sapoti kisha chomeka sasa hakikisha modem ime detect na umefunga dashboard ya mtandao wako
3.Sasa hatua inayofuata unatakiwa ufungue kitu inaitwa Universal Master Code.exe ambayo umekwisha download hapo juu sasa kinachotakiwa ni fanya kama picha inavyoonesha hapa chini
univer.jpg


4.Chukua Flash code na zikopi mahara pazuri kwani zitatumika baadae
5.Sasa hapa ndo kazi yenyewe mkuu wangu hakikisha modem yako umechomeka na ime detect na kufunga dashboard kama nilivyoeleza hatua namba 2..Sasa run kitu hii E173Update_11.126.85.00.114_B427.exe/Huawei E173 Firmware ambayo umekwisha downlod hapo mwanzo. fata maelekezo hapo then ita search modem yako na itapata then endelea na maelekzo yake mpaka utafikia sehemu unaombwa password sasa hapa weka zile FLASH CODE ulizocopy kutoka Universal Master Code.exe sasa piga next na subiri kitu imalize and then your data card software upgrade will be done successfully.

7.Sasa ukimaliza yote hiyo sasa kinachofata wewe ni download hii kitu Huawei Mobile Partner Software
picha yake ni hii hapa


8.Sasa fungua hiyo Huawei Mobile Partner Software na endelea na hatua zake na ikiomba password rudia kuweka tena FLASH CODE ulizocopy tena
Nadhani sasa imemaliza vema basi chomoa modem yako na weka upya then iki detect line tofauti nenda ka create network mpya na anza kura raha sasa mtu wangu. au tizama hapa namna ya ku create profile mpya

capture-20140421-135956.png


Natumaini somo limeeleweka kama kuna sehemu haieleweki basi usisite niulize ndugu yangu

PAKUA MZIGO WAKUDOWNLOAD MODEMS ZA TIGO

PAKUA MZIGO WAKUDOWLOADS MODEMS ZA TIGO HAPO CHIN

File Attachment:

File Name: ComplexSystemE153Flashingfiles.zip
File Size: 24,410 KB

LERN HOW TO RESTORE ANRID PHONE PARTTERN



Steps to recover lock pattern of any android device phone


Switch off the phone.

Now hold this buttons all together at the same time “Volume up + Home Key + Power Button” until the phone boots (if you device doesn’t have a home button just hold together volume up key and power key)

Now a screen like DOS will come up with different options

Use the volume key to move up and down then scroll down to “Restore Factory Defaults” or “Delete all User Data” depending on which is on your device.

After clicking on the settings above, now scroll down to “Reboot System Now ” and wait for your phone to reboot.

Now your phone will reboot and all lock pattern removed.


If you found this topic useful, comment/click THANK YOU button below..